RC SENYAMULE AWATAKA WANAUME KUACHA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO

Na Moreen Rojas,Dodoma. Mkuu wa mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule ametoa wito kwa vijana wa kiume na wanaume pamoja na wale wote wanaotekeleza vitendo vya kikatili dhidi watoto na wanawake kuacha mara moja kwani kundi kubwa linaloathirika na vitendo hivyo ni watoto na wanawake. Senyamule ametoa wito huo January 28, 2023 katika hospitali ya Rufaa